HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 12, 2010

mapacha watu kuzingua albam yao ya kwanza ijumaa hii

Habari za kazi wadau,

Natumaini mtakuwa mnawajua vijana wa Mapacha Wa3 ambao ni Khalid Chuma a.k.a Chokoraa, Kalala Hamza a.k.a Kalala Junior wote kutoka bendi ya Twanga Pepeta na mimi mwenyewe Joseph Mponezya a.k.a Jose Mara wa FM Academia Tunatarajia kuzindua album yetu ya kwanza iitwayo "Jasho la Mtu" Album itazinduliwa tarehe 15 Octoba 2010 katika ukumbi wa Travertine - Magomeni kuanzia saa 3 usiku kwa kiingilio cha Tshs. 10,000/- tu.

 pia tutasindikizwa na The African Stars (Twanga Pepeta) Full squad na Mfalme wa Taarab nchini Mzee Yusuf.

Naombeni msaada wenu wa kunitangazia kwenye blog zenu.

Shukrani.

Jose Mara

2 comments:

  1. Yay google is my queen assisted me to find this great web site!
    I was studying some of your content on this internet site and I think this internet site is very informative!
    Keep on posting.
    고스톱

    ReplyDelete
  2. Hi there very cool web site!! Man .. Excellent .. Superb ..
    I will bookmark your web site and take the feeds additionally…I am satisfied to search out a lot of helpful information right
    here in the publish, we want work out more techniques on this regard, thanks for sharing.
    스포츠토토

    ReplyDelete

Post Bottom Ad