HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 7, 2010

Heri ya Siku Ya Kuzaliwa Rais Wetu Jakaya Kikwete


Leo ni siku ya Kuzaliwa kwa Rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete,hivyo kwa niaba ya Wadau woote na waTanzania woote kwa ujumla,napenda kuchukua wasaa huu kumtakia kila la kheri Rais wetu huyu katika maisha yake mapya anayoyaanza leo kwani ni wengi wanapenda kufikia umri kama huu lakini ni wachache wanaweza kuufikia.Mungu amjaalie afya njema na maisha marefu Rais wetu Jakaya Mrisho Kikwete.

HAPPY BIRTDAY

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad