
Kamera ya Mtaa Kwa Mtaa leo ilikuwa ikizurulia mitaa ya Mwananyamana na ilibahatika kumnasa dogo huyu akiwa amekula miwani ya faza wake huku akionekana kushikiria kalkuleta kuweka sawa mahesabu aliyopewa na ticha wake shuleni.wataalam wa hesabu mnalionaje hili??
No comments:
Post a Comment