HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 10, 2010

tanganyika jeki

Askari wa usalama barabarani akiwa amemkida suruali dereva wa daladala lifanyalo safari zake katika tabata segerea - mnazi mmoja mara baada ya kutenda kosa barabarani.hii imetokea mchana katika kituo cha daladala cha karume jijini dar na hapa alikuwa akimpeleka katika kituo cha Polisi kilichopo maeneo hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad