
Ndugu Zangu,
Wapendwa Wangu.
ILIANZA siku, ukatimu mwaka, ikafika miwili, mitatu na sasa ni MIAKA MINNE YA MJENGWA BLOG!
Leo Septemba 19, 2010 Mjengwablog imetimiza miaka minne tangu kuanzishwa kwake. Mwezi na tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita ndipo nilipoingiza picha ya kwanza humu kijijini. Niliazimia kuanzisha jukwaa la fikra huru. Ni fikra tofauti zenye kujenga, na zaidi picha
zichagie katika kuamsha fikra hizo.
Ndugu zangu,
Katika hilo natumia fursa hii kuwashukuru nyote kwa kuwa pamoja nami katika muda wote huu wa miaka hii. Hamkukata tamaa ya kutembelea Mjengwablog hata pale ilipopita siku au siku mbili bila mimi kuingiza chochote bloguni. Hakika, malengo ya kuanzishwa kwa Mjengwablog
tunayakamilisha kwa pamoja. Hapa pamekuwa ni mahala pa watembeleaji kuangalia picha, kuacha maoni au kusoma maoni ya wengine na kutafakari. Ni mahali pa kutafakari pia hata kama hakuna aliyeacha maoni, alimradi kuna picha itakayokufanya uburudike, uelimike na
ichochee tafakuri.
Bofya;
http://mjengwa.blogspot.com
Wapendwa Wangu.
ILIANZA siku, ukatimu mwaka, ikafika miwili, mitatu na sasa ni MIAKA MINNE YA MJENGWA BLOG!
Leo Septemba 19, 2010 Mjengwablog imetimiza miaka minne tangu kuanzishwa kwake. Mwezi na tarehe kama ya leo miaka minne iliyopita ndipo nilipoingiza picha ya kwanza humu kijijini. Niliazimia kuanzisha jukwaa la fikra huru. Ni fikra tofauti zenye kujenga, na zaidi picha
zichagie katika kuamsha fikra hizo.
Ndugu zangu,
Katika hilo natumia fursa hii kuwashukuru nyote kwa kuwa pamoja nami katika muda wote huu wa miaka hii. Hamkukata tamaa ya kutembelea Mjengwablog hata pale ilipopita siku au siku mbili bila mimi kuingiza chochote bloguni. Hakika, malengo ya kuanzishwa kwa Mjengwablog
tunayakamilisha kwa pamoja. Hapa pamekuwa ni mahala pa watembeleaji kuangalia picha, kuacha maoni au kusoma maoni ya wengine na kutafakari. Ni mahali pa kutafakari pia hata kama hakuna aliyeacha maoni, alimradi kuna picha itakayokufanya uburudike, uelimike na
ichochee tafakuri.
Bofya;
http://mjengwa.blogspot.com
Hongera tupu!!!
ReplyDeletebabu kubwa MJENGWA NA ONGERA SANA
ReplyDeleteDUNDA