HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 9, 2010

kiwanda kipya cha TBL Mbeya chafunguliwa

moja ya mitambo ya kiwanda hicho.
Lango kuu la kuingia kiwandani hapo
baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya bia Tanzania,TBL wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo wakiangalia mandhali ya kiwanda hicho walipokwenda kukitembelea hivi karibuni
sehemu ya jengo la kiwanda hicho ambacho ni cha kisasa kabisa.
sehemu ya kupakilia bia na kuhifadhia kreti
sehemu ya kuegeshea magari.

1 comment:

  1. Halafu ulikua unafunga!, kumbuka ana dhambi, mtengenezaji,mnjwaji, na anaeitangaza pombe

    ReplyDelete

Post Bottom Ad