
Mgombea Urais kupitia CCM,Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wananchi wa Muheza mkoani Tanga leo mchana huu.

Mgombea Urais kupitia CCM,Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na wananchi wa Muheza baada ya kuhutubia Mkutano wa Kampeni leo mchana.

Dr. Kikwete akiwapungia wananchi wa wilaya ya Muheza wakati akiondoka mara baada ya kuwahutubia katika mkutano wa kampeni mchana huu.
No comments:
Post a Comment