HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 1, 2010

dr. bilal mkoani ruvuma

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. Mohamed Gharib Bilal akizungumza na watoto wa Kijiji cha Ligoma baada ya kumaliza mkutano wa kampeni katika kijiji hicho
Wananchi wa Kijiji cha Nakapanya wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,Dk. Mohamed Gharib Bilal wakata wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji hicho.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad