HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, September 28, 2010

dr. bilal aendelea na ziara za kampeni mkoani iringa


Mgombea Mwenza wa urais wa kwa tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akiteta jambo na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga, Dk. William Mgimwa, wakati alipofika katika jimbo hilo kufanya mkutano wa kampeni na kumnadi mgombea huyo leo.


Mgombea Mwenza wa Urais akiwaangalia wasanii wa Sarakasi wa Kikundi cha Kijiji cha Mabaoni Wilaya ya Mufindi, wakati alipokuwa akiwasili Kijijini hapo leo kufanya mkutano wa kampeni.


Wananchi wa Kijiji cha Mabaoni Kata ya Makungu Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, wakimsikiliza mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa kampeni leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad