Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akimkabidhi zawadi ya begi Bi. Mwanaidi Ibrahim ambaye alikuwa mmoja wa washindi wa michuano ya wazi ya gofu iliyodhaminiwa na benki hiyo katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gymkhana. Nyuma ni kepteni wa mchezo huo Joseph Tango.
Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akimkabidhi zawadi ya begi Bi. Mwanaidi Ibrahim ambaye alikuwa mmoja wa washindi wa michuano ya wazi ya gofu iliyodhaminiwa na benki hiyo katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gymkhana. Nyuma ni kepteni wa mchezo huo Joseph Tango.

No comments:
Post a Comment