HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 23, 2010

washindi wa mashindano ya wazi ya gofu wakabidhiwa zawadi zao


Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk Edmund Mndolwa akihutubia wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa mashindano ya wazi ya gofu yaliyodhaminiwa na benki hiyo.
Mwenyekiti wa Benki ya KCB Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akimkabidhi zawadi ya begi Bi. Mwanaidi Ibrahim ambaye alikuwa mmoja wa washindi wa michuano ya wazi ya gofu iliyodhaminiwa na benki hiyo katika hafla iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gymkhana. Nyuma ni kepteni wa mchezo huo Joseph Tango.
Vikombe na baadhi zawadi za washindi wa mchezo wa gofu
Mchezaji wa Gofu ambaye pia ni mwanachama wa Dar es Salaam Club, Tayana William, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya wazi ya mchezo huo yaliyodhaminiwa na Benki ya KCB na kufanyika katika viwanja vya Gymkhana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad