Familia ya Halima S. Kaubanika ya Ilala Dar es salaam, wanakumbuka kifo cha baba yao Mzazi Mzee Suleiman M. Kaubanika kilichotokea 24/8/2009 Kigogo Dar es salaam.
Sasa ni mwaka mmoja tangu ututoke.unakumbukwa na wake zako, watoto,marafiki zako na majirani hasa kwa ucheshi na mawazo uliokuwa nao.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
- Amin
Sasa ni mwaka mmoja tangu ututoke.unakumbukwa na wake zako, watoto,marafiki zako na majirani hasa kwa ucheshi na mawazo uliokuwa nao.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
- Amin

No comments:
Post a Comment