HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 20, 2010

nasiha 40 za mwezi mkukufu wa ramadhan

Na Mdau Hamza

Bila hata kusema zaidi, naomba aina yamaisha haya yakumwelekea Mwenyezi Mungu yaendelee hata baada ya mfungo wa Ramadhani

Ramadhani Karimu kwenu Nyote,

1.Anza kwa kuzingatia mwezi huu mtukufu uwe na kuzihesabu, kutenda amali nyingi na kujirekebisha hali yako na uhusiano wako na ALLAH (SWT) uwe bora zaidi.

2.Kumbuka kwamba huu mwezi ni mgeni ambaye amekutembelea kisha ataondoka, hivyo mpokee mgeni wako na mkirimu kwa mazuri yote anayostahiki.

3.Tahadhari na kutokufunga bila ya sababu au udhuru wowote, kwani kufanya hivyo , Swawm yako haitolipika hata ukifunga mwaka mzima.

4.Swali kwa wakati wake, usiache Swalah ikakupita. Najua kuwa ukiwa huswali Ramadhaani huna Swawm kwa mujibu wa fatw za Maulamaa wengi.

5. Soma sana Qur-aan kadri uwezavyo kwani ni mwezi uliyo teremshwa Qur-aan.Kamilisha msahafu mzima japo mara moja,ukishindwa hata nusu yake,robo yake.

kujua zaidi nasiha hizo.

BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad