HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 21, 2010

Libeneke la JK na Dr. Bilali

Libeneke rasmi la JK na Dk. M. Gharib Bilal sasa lipo hewani:

www.kikwete2010.co.tz

Libeneke hili maalumu la Mgombea Uraisi na Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM mwaka 2010 limesheheni habari mbalimbali kama:

· Wasifu wa Wagombea – Mhe. Jakaya M. Kikwete na Dr. Mohammed Gharib Bilal.
· Mafanikio katika sekta mbalimbali.
· Sera na Malengo 2010 – 2015.
· Ratiba za kampeni.
· Hotuba maalumu.
· Matoleo ya Habari.
· Video na picha.
· Mitandao ya Facebook,Twitter na Youtube.
Kupitia tovuti hii na mitandao yake utaweza kupata taarifa mbalimbali na kutoa maoni yako.

“ PAMOJA TUZIDI KUSONGA MBELE”

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad