HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, August 8, 2010

Kitu Cha Shimozz Mtaa wa Uhuru

hivi ni kwanini hawa jamaa wanaochimba haya mashimozz mabarabarani kwa kufanya shughuli zao,mbona wakimaliza hawayafukii???maana hili shimo linapata mwezi sasa liko hivi hivi na hakuna anaeongea lolote.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad