HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 13, 2010

Daladala Linapobuma

abiria wa daladala lifanyalo safari zake kati ya Mburahati na Kivukoni wakilisukuma gari hilo mara baada ya kubuma kwa kuishiwa mafuta katikati ya jiji,hali hii imekuwa ni ya kawaida kwa madaladala mengi hapa mjini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad