HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 27, 2010

Mwanahabari Primtiva Pankrasi Afariki Dunia

MAREHEMU PRIMTIVA PANKRASI

Aliyekuwa mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania, Primtiva Pankrasi, amefariki dunia jana mchana katika hospitali ya Lugalo ya Jijini Dar es Salaam, wakati alipofika hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu ya kawaida ‘Check up’.

Imeelezwa kuwa Primtiva kabla ya kufikwa na mauti alipatwa na presha ya ghafla na kupoteza uhai wakati madaktari wakihangaika kunusuru maisha yake.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE AMINA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad