hivi ndivyo uonekanavyo leo baada ya kuchimbwa ili kutengeneza kipande hicho kinachoenda kuungana na kile cha jamngwani mpaka ubungo. vumbi mtindo mmoja. katapila likendelea kula mzigo leo.
mzee wa mtaa kwa mtaa ukipata kupitia maeneo ya mtoni kijichi utuletee taswili za huko mda nimeondoka huko niliacha nyumba mbili tu mwisho wa kijichi karibu na police post ndio walikuwa wanaijenga miaka ya mwanzoni mwa 90. nitashukuru mzee maana nasikia lami imefika huko. thanks
Alafu wewe mbona umepashika sana mtaani kwetu sasa au ndio mfungo nini maana mwaka jana ulikuwa utoki mitaa hiyo safi JK kwa kupiga sop sop kitaani Dunda
mzee wa mtaa kwa mtaa ukipata kupitia maeneo ya mtoni kijichi utuletee taswili za huko mda nimeondoka huko niliacha nyumba mbili tu mwisho wa kijichi karibu na police post ndio walikuwa wanaijenga miaka ya mwanzoni mwa 90. nitashukuru mzee maana nasikia lami imefika huko. thanks
ReplyDeleteAlafu wewe mbona umepashika sana mtaani kwetu sasa au ndio mfungo nini maana mwaka jana ulikuwa utoki mitaa hiyo
ReplyDeletesafi JK kwa kupiga sop sop kitaani
Dunda