HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 14, 2010

Mkutano wa Mwaka wa Wanahisa wa TBL wafanyika Dar leo.

Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Cleopa David Msuya (katikati) akifafanua jambo kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa wanahisa Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Robin Goet szche na kushoto ni Mwanasheria wa TBL Huruma Ntalena.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Robin Goetszche akifafanua jambo wakati wa mkutano wa Wanahisa wa Kampuni ya Bia TBL Dar es Salaam leo. Kushoto ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya TBL Cleopa David Msuya na Kulia ni Mzee Anorld Kilewo.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL, Robin Goet szche akionesha chupa ya maji ambayo huzalishwa na Kampuni ya Bia nchini TBL. Ikiwa ni moja ya bidhaa mpya za kampuni hiyo. Kushoto ni Katikati ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa Bodi ya TBL Cleopa David Msuya.
Mmoja wa wanahisa wa TBL akiuliza swali wakati wa mkutano mkuu wa Wanahisa wa TBL Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad