HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 27, 2010

Kuvuja Kwa Pakacha,Nafuu Ya Mchukuzi

Kamera ya Mtaa Kwa Mtaa,ilimnasa mwanadada huyu akichota maji katika bomba zilizokatika kutokana na ujenzi wa barabara ya mtaa wa Twiga,Kariakoo.sasa sijui mamlaka ya maji wanampango gani na hili??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad