HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, May 15, 2010

Washiriki Wa Miss Dar Inter Collage Hawa Hapa

Basilisa Bisengo - DSJ
Agness Francis- DSJ
Pilli Hashim - DSJ
Sanza Clark - DSJ
Rahma Swai - CBE
Catherine George - CBE
Cassiana Milinga - CBE
Marylidya Boneface -ISW
Agather Killala - ISW
Rosemary Chedima - DSJ
Shone Mwanyanje - CBE

****************************

Kapito Letars Inakuletea Miss Dar Inter College.

Hawa ndio warembo watakaoshiriki katika kinyang'anyiro cha kumsaka mrembo wa Dar Inter College ambayo inatarajiwa kufanyika Mei,27 katika kiota maarufu cha kujidai hapa jijini Dar,si mahala pengine bali ni Club Bilicanas iliopo katikati ya jijini.Wadamini wakuu katika mtanange huu si wengine bali ni
Vodacom,Redd's Premium Cold,Clouds FM,Shear Illusion,Tanzania Daima,Michuzi Blog,Jiachie Blog,Mtaa Kwa Mtaa Blog,Full Shangwe Blog pamoja na Jane John5 Blog.Nyooote Mnakaribishwa siku hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad