HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 12, 2010

Tegeta

uingiapo Tegeta kutokea taun
Baskeli na magari ngoma drooo
Bahari ya nanihii iliopo pale Tegeta kibaoni ionekanavyo sasa,yaani inazidi kupendeza tuu

3 comments:

  1. Duh si mchezo hulali we kijana
    kazi njema!!!

    ReplyDelete
  2. Asante sana kwa pichazz, na kwa kunifikisha mitaa ya home huko Tegeta, hasa umenikumbusha sana hicho ki down unapoingia mjini Tegeta.

    ReplyDelete
  3. naupenda huo mteremko hapo, huwa unaashiria kuwa naelekea nyumbani kupumzika baada ya misukosuko ya kazini. i love tegeta!

    ReplyDelete

Post Bottom Ad