HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 29, 2010

Sheria Mpya Kwa Wakata Maji

1. Miaka 10 jela kwa kukutwa ukinywa maji wakati pombe ipo.

2.Kukataa ofa ya pombe miaka 4 jela au faini ya Tsh. 500,000/=

3. Kuchanganya pombe na maji miaka 5 jela pamoja na viboko 6.


4.Kutapika baada ya kunywa pombe adhabu ni kifungo cha maisha.


5.Kunywa pombe peke yako nyumbani kifungo cha miezi 6 jela.


6. Kukutwa umelala mezani huku glasi imejaa pombe miaka mitano jela bila rufaa.


7.Kukataa kuvuta wakati unakunywa miezi 5 jela.


8.Kukataa kununua pombe wakati unapesa mfukoni miaka 7 jela na kazi ngumu.


9.Kukutwa katika kundi la wasiokunywa pombe miaka 4 jela na viboko 12.


Wenu mtiifu,

Raisi wa Wanywaji

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad