na ameniambia anayo furaha kubwa sana kutimiza umri huo kwa sasa na anamshukuru sana Muumba kwa kumjaalia kufikia hapo alipo na pia anawashukuru sana wazazi wake kwa malezi mazuri wanayompatia hadi hii leo.
na anawaombea kwa Muumba awazidishie zaidi na zaidi na aendelee kuwapa moyo wa upendo kwake.Mnuso wa Besdei hiyo utakuwa siku ya J1 na atatoa mualiko kwa wadau baadae kidogo.
Hepi Besdei Anko Baggio Alimbe.
Happy Birthday son, Mungu akutangulie kwa kila jambo, uwe mtoto mwema kwangu na kwa watu wengine. Wazazi wako wanakupenda, A lot of kisses kutoka kwa Bi Mwajemi n Uncle didi. Luv u son.
ReplyDeleteUR mom Mtage
Hongera kwa siku ya kuzaliwa. Mungu awe nawe siku zote na uwe na mafanikia katika chocgote utencho na pia uwe mtoto mwema.
ReplyDeleteHappy birthday lil b, God bless ya
ReplyDeleteur uncle J
Hello Baggio I wish u all the best
ReplyDeleteRafiki yako
Kakere junior.