HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 4, 2010

Kamuzi La Flava Nite @ Mzalendo Pub,Wadau Kibao Walikuwepo

Dj Mackay akifanya vitu vyake huku mkali Bon Love akichombeza chombeza kimtindoBonVenture na Flowers
Salma,David na Salma mwingine wakiwakilisha kwa pamoja ndani ya Flava Nite
Dj Bon Love akikamua madude
"hivi ile cd na nanihii umeiweka wapi vilee??"
show love,shoto ni Penina wa Chanel 10,Bon Ventune pamoja na Sauda
Deus na David
Salma na Salma
wadau wa ughaibini nao walikuwepo
show love
wadau
mdau Sam wa machozi band (pili toka shoto) na friends zake
Bon Venture akiwa na wadada warembo
Bon Venture na Mdau
Salma,Mie na Sarha tukiwakilisha kama kawa ndani ya Flava Nite
wadau
Mdau Juddah (shoto) akiwa na washaji zake
Dj Bon Love na Mshkaji wake
Wadau wakiwa pamoja na mkali wa siku nyingi katika anga ya kucheza na madude,Dj Bon Love (pili tika kulia) ndani ya Mzalendo Pub katika usiku wa maflava ya ukweli
Dj Oscar na mshkaji wake
wadau
wakuu wa kazi
vichwa makini katika anga tofauti tofauti hapa Bongo wakiwa katika Flava Nite @ Mzalendo Pub usiku wa kuamkia leo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad