HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, April 4, 2010

Kamuzi La Flava Nite @ Mzalendo Pub

huyu ndie mshindi wa leo wa kuzungusha vyema nyonga yake,anaitwa Anethi
anko nanihii akiwa na mshindi wa leo
anko nanihii akimkabidhi mshindi Zawadi yake ya Wine ya Overmeer,kulia ni boss wa kilaji hicho cha Overmeer
Dj Mackay akiwakilisha ipasavyo
mambo ya kiti kati hayooooo

wacha weeeeeee.....
Mduariko wa Maana
kwaitozz mwendo mdundo
sijui hii staili inaitwaje??
Makamuzi ya Flava Nite usiku wa kuamkia leo katika kiwanja cha kujidai cha Mzalendo Pub yalikuwa ni ya kufa mtu,yaani walahi tena kama ulikosa jana,basi ibuka tena leo maana leo kuna makubwa zaidi ya ilivyokuwa jana.hivyo ibuka bila kukosa pale Mzalendo Pub na ukalisakate disco la ukweli.

FLAVA NITE KIAFRIKA ZAIDI @ MZALENDO PUB

1 comment:

Post Bottom Ad