kwa sisi kina nanihii tunaokolewa sana na hawa wamama maana ukifika hapo unapokelewa kwa shangwe na furaha tena huku ukiulizwa "unataka nini mteja wetu,maana leo tuna wali mchicha na ugali dagaa wa Mwanza."bado ukimaliza unapewa na ndizi kama tunda la kusindikizia msosi wako.yaani bigi apu kweli kweli kwa kina mama ntilie hawa maana wanatuokoa sana kina sisi.
No comments:
Post a Comment