Hivyo basi naomba niwatakie kila la kheri na mapumziko mema katika wikiendi hii yenye siku nzuuuuri ya Ma Love Davieee,nasema tuko PamoJah katika hilo wandugu.ila kwa yule ambaye bado hajapata wa kupendana nae kama mimi basi sio mbaya tukisherehekea PamoJah sikukuu hiyo.hah ahah ahah au unaonaje??
D50 or D 90?
ReplyDeletehiyo ni D 450
ReplyDelete