
"Peace Babu"

Dj Bon Love,Dj Don pamoja na mwanadada nanihii.

vichwa makini,tona shoto ni Oscar,Bon Love pamoja na Kitenge.

"raha jipe mwenyewe ndugu"

Bon na Mdau na nanihii pamoja na nanihii.

Dj Mackay akikamua mavituzz ya ukweli.

Dj Bon akiwa na wadau wake waliomtembelea Mzalendo Pub kumpa tafu.

Bon Love na mdau.

Dj Don na mkali mwenzie Dj Bon Love
No comments:
Post a Comment