
Mdau Salum Baharia,Dj Oscar,Mdau Nashe pamoja na kaka mkubwa Abdallah wakitabaruku ndani ya Mzalendo Pub.

Mdau Sam wa Machozi Band akiwa na mai nanihii wake ndani ya Mzalendo Pub

Best yangu Nashe nae alikuwepo pande hiyo.

mkuu Hans wa Samaki Samaki,Mie kati pamoja na Jaffaray ndani ya Mzalendo Pub

MaBlogger haoooooo.....,toka shoto ni John wa Full Shangwe Blog,Geofrey wa MO Blog,mdau Pascal pamoja na mdau mie wa Mtaa Kwa Mtaa Blog.tukiwakilisha pande za Mzalendo Pub katika libeneke la Flava Nite.
hello
ReplyDeletehuyo dj Oscar ni yule oscar urio??????? aliyekuwa anasomea mapishi forodhani au mwingine????????????????????????????