HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 5, 2010

Ubungo Asubuhi Ya Leo

baadhi ya mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani,yakiwa yamepaki kwa nafasi zao ili kusubiria muda wa kuanza kwa safari.
mbilinge mbilinge la kutoka kwa mabasi katika stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani,Ubungo asubuhi ya leo.mabasi yote haya kabla ya kuanza safari zake lazima yafanyiwe ukaguzi wa kina ili kuhakikisha safari inakuwa poa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad