HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, February 8, 2010

Tandale Kwa Tumbo

watu wa huku gari kwao hata sio kitu cha hatari maana hata hawaliogopi,cheki walivyotanda barabarani kama vile hawalioni hili gari.
huu ni moja ya mitaa iliyopo kule Tandale kwa Tumbo,hii ni jana jioni nilipokatika pande hizo katika kuendeleza libeneke la Mtaa Kwa Mtaa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad