HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, February 25, 2010

Omba Omba Hali Yazidi Kuwa Tete

Watoto wa mitaani wanaoishi katika mazingira magumu wakiwa wamelala nje ya jengo la PPF Tower leo asubuhi.Watoto hawa mara nyingi sana muda kama huo ndio wanakuwa katika mihangaiko yao ya kutafuta riziki lakini leo hii muda huu wamelala,sasa sijui ni kutokana na kukosa msaada kutokana na ile issue ya Manyoya??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad