HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, February 12, 2010

Mchina Kweli Noma!!

katengeneza pikipiki ambayo unachaji kama simu!!!!hiyo iko kwenye chaji hapo,daah kweli hawa jamaa ni noma.

2 comments:

  1. hizo mkuu wameaanza wazungu kitambo

    ReplyDelete
  2. Mzee kuna gari za kuchaji kwenye umeme, mambo yapo kitambo hayo labda na hawajaanza wachina mzee.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad