HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 23, 2010

Kamzinga Ka Asubuhi Asubuhi

Askari wa usalama Barabarani akipima ajali ya gari na baiskeli iliyotokea asubuhi hii nje ya kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopo Morogoro rodi.
mchuuzi wa Samaki ambaye ndie aliengwa na gari hiyo yenye nambari za usajili T 648 ARS asubuhi hii alipokuwa akitokea feri.
"yakhee mie ndo hivyo tenaaaa,nshagongwa miee"
Askari wa usalama Barabarani akichukua maelezo ya mwenye gari hiyo
kipimo kinaendelea.
mashuhuda kama kama.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad