
mzee mmoja ambaye jina lake halikuweza fahamika mara moja akijaribu kuongoza magari ambayo yalikuwa yamesongamana katika mtaa wa Zanaki na india street mchana huu.yaani hapa palikuwa hapasogei hata gari moja lakini alivyoingia huyu mzee mambo yote yalikwenda poa.Kamanda Kombe umemuona huyuu??
No comments:
Post a Comment