HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, January 18, 2010

Number 10 Liko Kitaani Sasa

Lile gazeti letu mahiri la nyewz tam tam za soka limeshatoka na lipo mitaani. Kama haujafanikiwa kupata copy yako tafadhali tuma txt/email kwenda kwa mdau mwenzetu kwenye
0713350833/

Shaffih Dauda
[shadaka20@yahoo.com]

Pia kama unataka kuletewa ofisini kwako kumbuka kutoa physical address yako na namba ya simu then litakufikia popote pale ulipo hata kama upo mkoa. I hope wadau wa Mbeya, Moshi & Arusha mmetupata kupitia hapa.

Naomba kuwasilisha!!!

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad