
nyumba hii iko hapa hapa mjini maeneo ya Ilala Bungoni na kuna watu wanaishi humo ndani,pamoja na kwamba bati zake zimechoka sana na zingine kutokuwepo lakini maisha yanaendelea kama kawaida.sasa sijui na hivi mvua zetu zisizo na msimu zikianza kunyesha katika nyumba hii huwaga kuna kuwaje??
Mvua zikinyesha si wanahamia guest, we haujiulizi guest zote hizi Dar wanalala wageni tu! Km unataka kuthibitisha fanya survey ya guest hata 5 tu km sample ya utafiti wako uone jinsi wageni walivyoandika kwny daftari la wageni! Kutoka: Dar, Kwenda: Dar, kabila: Mzaramo, sasa hapo mi ndo nachoka, km mtu anaishi Dar, kwenye nyumba ya wageni anafanyaje!
ReplyDeleteTanzania bora ya Jana huku nyumba ya Gavnna Billion 1.25
ReplyDeleteTanzania bora ya Jana huku nyumba ya Gavnna Billion 1.25
ReplyDelete