HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 6, 2009

Washiriki Wa Zaburi Gosper Search Waingia Kambini

Washiriki wa ZABURI GOSPER SEARCH wakifanya mazoezi
Mmoja wa washiriki wa ZABURI GOSPER SEARCH anaefahamika kwa jina la Moses Lupakisyo akiwapikia wenzake chakula (Ugali) na kuwapakulia wakati wa kambi yao iliyoanza rasmi siku kadhaa zilizopita huko jijini Mwanza.kwa kufahamu zaidi yanayojiri kila siku katika kambi ya ZABURI GOSPER SEARCH basi tembelea HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad