HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 12, 2009

Safari Inapoingiliwa Na Kwikwi Ya Basti Ya Tairi

nilikuwa safarini kidogo kuelekea mji kasoro bahari (Moro) na safari yetu ilianza kutupotezea mwelekeo hapa mara baada ya tairi moja ya nyumba kupasuka vibaya vibaya (ilibabasti) na kutufanya tufunge spea tairi.
haya yalikuwa ni maeneo ya Kiluvya,na hapa mdau Hassan akifanya utaratibu wa kuweka traiengo ili kutoa ishara kwa gari zinazokuja nyuma yetu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad