Hi,
Msaada tutani Pliiiiizzzzzzz .........
kuna watangazaji fulani hivi wa Radio One Stereo sijawasikia siku nyingi. Nao ni Rachel Doba na Rose Chitala. Wako wapi siku hizi? Mwenye habari atuhabarishe waungwana.
kuna watangazaji fulani hivi wa Radio One Stereo sijawasikia siku nyingi. Nao ni Rachel Doba na Rose Chitala. Wako wapi siku hizi? Mwenye habari atuhabarishe waungwana.
Ni mimi mdau wa Blog
No comments:
Post a Comment