HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 31, 2009

Mv. Kigamboni Baada Ya Kupigwa Sop Sop

kivuko cha Mv. Kigamboni kikiwa kimekula shazi lamaana kutokea Kigamboni kuja Bongo,kivuko hiki sasa hivi kiko poa sana mara baada ya kupotea kwa muda kwa matengezeno na sasa kimerejea kwa spidi ya ajabu,maana kinapiga mzigo kweli kweli sasa hivi tofauti na hapo awali.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad