HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 12, 2009

Adina Edward Alamba Nondozz yake Mzumbe University

Dada Adina Edward akitabasamu mara baada ya kula Nondozz yake ya Bacherol Of Public Adminstration in Public Service Management katika chuo kikuu cha Mzumbe University hapo jana
Adina akiwa katika pozi na Aunt yake
Adina na rafiki yake waliekuwa wakisoma pamoja
mie pia sikuwa nyuma kutoa ka zawadi kangu kwa Dada Adina
Adina akiwa na wazazi wake mara baada ya Mahafali kumalizika Chuo kikuu cha Mzumbe.
Adina akipongezwa na kaka yake Hassan mara tu baada ya kulamba Nondozz yake hapo jana
Adina akiwa katika picha ya pamoja na Familia yake.Blog hii inampongeza sana Dada Adina Edward kwa kufanikiwa kupata Degree yake ya kwanza ya Bacherol Of Public Adminstration in Public Service Management katika chuo kikuu cha Mzumbe University,kiukweli ni wengi wanapenda kufikia hapa alipofikia Dada yetu huyu lakini kwa namna moja ama nyingine inashindikana kufikia hapa.kiukweli kabisa Dada Adina anastahili sana kupongezwa kwa hili alilopata sasa.Hongera sana Dada Adina.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad