HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 10, 2009

Usingizi Ni Popote Pale

baada ya kazi ukijiona umechoka,basi unaruhusiwa kuangusha gari mahala popote pale utakapojisikia,kama anavyoonekana msela huyu.

1 comment:

  1. Jamani!,hata kama mtu umefanyakazi na kuchoka ndio u-beep kifo namna hii!?,hapo akigongwa na treni na kujeruhiwa atakuwa na kesi ya kujibu kwani yeye ndio atashitakiwa kwa kuigonga treni.Labda afe ili kesi isiwepo kabisa.
    Mdau-India.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad