HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 26, 2009

Mwanamuziki D'Banj Atia Timu Bongo Kwa

Mwanamuziki Dapo Daniel Oyebanjo a.k.a D'Banj akichenguana na mabinti kutoka kampuni ya sigara (TCC),mara baada ya kutua mchana wa leo katika uwanja wa ndege wa J.K.Nyerere.D'Banj (kati) amewasili nchini leo mchana kwa ndenge ya shirika na Ethiopian Airline kwa ajili ya shoo moja matata sana itakayofanyika siku ya jumamosi katika viwanja vya Tanganyika Pakers ambapo yeye pamoja na wasanii kadhaa wa hapa nchini watafanya makamuzi ya kufa mtu siku hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad