HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 20, 2009

Mmhhh!!!! Hii Sasa Shunguli

kondakta wa Dadadada pamoja na dereva wake wakiwa wamebeba mlango wa gari lao baada ya kudondoka wakati gari hiyo ikiwa katika mishe mishe zake za kila siku.sasa siji ingekuwa vipi kama huyo konda angening'inia mlangoni kama kawaida yao??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad