HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 28, 2009

Mdau Albert Lweja Adaka Nondozz Yake

mdau Albert Lweja akiwa ni mwenye furaha baada ya kulamba Nondozz yake ya Sheria katika Chuo kikuu cha Dar Es Salaam.
Albert Akiwa na Marafiki zake pamoja na wadogo zake
nami nilipata picha moja ya kumbukumbu na rafiki yangu Huyu ambaye tukuwa pamoja tangu enzi hizooooooo za nanihii kule nanihii.
hii ndio shida ya kupenda picha,unasinzia lakini wapi unataka lazima na wewe uwemo tuu.hapa nipo na William Lweja ambaye ni mdogo wake na Albert baada ya kusherehekea kimtindo pande za home kwa kina Albert.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad