HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 20, 2009

Kassim Na Sheila Wameremeta Leo

Bw. harusi Kassim Mussa akisikiliza kwa makini Mawaidha ya Sheikh (hayupo pichani)Bi. Shanila Zubeir akiwa katulia tulii
maharusi katika picha nzuri kabisa ya kumbukumbu.
maharusi pamoja na Mpambe wao wakielekea Nyumbani kwao. Sheikh nanihii (kati mwenye miwani) akiongozana na maharusi
"bwana Kassim Mussa,umekubali kumuona bi Sheila Zubeir kwa mahali tuliyokubaliana??"hayo ndio maneno yasemwayo hapo na kaka wa Bi. harusi.
Bw. Harusi pamoja na mpambe wake wakiwa na Sheikh aliefungisha ndoa hiyo,Sheikh Seif (kushoto) mara baada ya kumalizika kwa tendo la ufungishaji ndoa mchana wa leo maeneo ya Karakata,Tabata
Bw.Harusi na Mpambe wake wakijadili jambo
watoto wa Madrasa wakiimba qaswida katika kusherehesha harusi hiyo leo
dufu zikishughulikiwa vilivyo
kina mama wakisherehekea
msafafa umekolea,yaani simpo tu lakini ni poa

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad