HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 24, 2009

Edd El Hajj Kuwa Novemba 28, 2009

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania BAKWATA liwametangazia Wislamu na wananchi wote kwamba mwandamo wa mwezi Dhul Hajj umeonekana tarehe 18/11.2009 na kuashiria kuanza kwa mwezi mtukufu wa dhul Hajj (Mfungo Tatu)

Kwa maana hiyo sherehe ya sikukuu ya Eid el Hajj itakuwa mwezi wa 10 Dhul Hajj sawa na Tarehe 28/11/2009.

Sala na Baraza la Idd kitaifa zitafanyika katika msikiti wa Alfarouq uliopo Bakwata Makao Makuu Kinondoni Dar es alaaam , kuanzia saa 1.30 asubuhi na kufuatiwa na Baraza la Idd hadi saa 3.00 asubuhi.

Baraza kuu la Waislamu wa Tanzania BAKWATA linawatakia Eid njema waislamu wote na watanzania kwa ujumla

Imetolewa na
Sheikh Ismail Habib

KAIMU MUFTI WA TANZANIA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad