HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 3, 2009

Sugu Na FA Waja Na Kitu "Dunia Yako"

wanamuziki wakali wa miondoko HIP-HOP Bongo, Mr II a.k.a Sugu na Mwana FA wakiwa ndani ya S&S Studio in Brooklyn - New York,Marekani wakirekodi track yao mpya 'Dunia Yako' itakayokuwa kwenye album ya VETO....,hivyo wapenzi wa mambo mambo yetu haya kaeni mkao wa kula.picha kutoka katika kurasa ya picha ya Mwana Fa ndani ya wanja la kujidai la FaceBook


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad