HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 19, 2009

Skaki La Eid Hiloooo!!

hawa wasela nimewafuma maeneo ya Tegeta mchana wa leo wakiwa wamepakizana kwenye pikipiki kwa staili hii amabyo ni maarufu sana hapa bongo kama mishkaki,sasa sijui waliotunga hili jina walikuwa na maana gani? maana mie naunga tela tuu kwa kuita hivyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad